Mark 13:1-2
Dalili Za Siku Za Mwisho
(Mathayo 24:1-2; Luka 21:5-6)
1 aIsa alipokuwa akitoka Hekaluni, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu! Tazama jinsi mawe haya yalivyo makubwa, na majengo haya yalivyo mazuri!” 2 bNdipo Isa akajibu akasema, “Je, unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, bali yote yatabomolewa.”Mateso Yatabiriwa
(Mathayo 24:3-14; Luka 21:7-19)
Copyright information for
SwhKC